WANAUME NDIO WANAUMIA ZAIDI PINDI MAPENZI YANAPOVUNJIKA KULIKO WANAWAKE (ikiwa walikuwa wanapenda)
Wanasaikolojia wanasema kuwa pindi mahusiano ya kimapenzi yanapovunjika wanaume ndio wanaumia zaidi kuliko wanawake
Lakini kinachofanya jamii ione wanawake ndio wanaumia zaidi ni kutokana na kuww mwanaume hapendi kuonekana kuwa ameumia kwa ajili ya mapenzi hivyo hujikaza na kujionyeshe usoni kuwa hajaumia
Baada ya mapenz kuvunjika mwanaume huathirika zaidi na ni rahisi kwa mwanaume kujiingiza kwenye tabia zisizofaa pindi anapoumia kwa mapenz kuliko wanawake


No comments:
Post a Comment