Sunday, 15 December 2019

IJUE ARSENAL KWA UCHACHE

1) Ndio timu pekee ambayo haijawahi kushuka daraja tokea msimu wa mwaka 1919/20
2) Katika mechi na shifield united tar 22/1/1927 kwenye uwanja wa highburt ...ndio ikawa mechi ya kwanza ya ligi kuu ya uingereza kutangazwa kwenye redio
3) Arsenal ndio timu pekee kwenye ligi kuu ya uingereza ambayo ilichukuwa ubingwa bila kufungwa ...wakapewa kombe la dhahabu
4)Arsena ndio timu ya kwanza duniani kuonyeshwa kwenye tv ikiwa inacheza mpira ilikuwa ni mwaka 1937
5) 1993 Arsenal ndio timu ya kwanza kuchukua ligi kuu na kombe la Fa ndani ya msimu mmoja
6) Imeitwa Arsenal na jina la utan iwe ni gunners kwa sababu imeundwa na imeundwa na wafanyakazi wa kiwanda cha silaha za kivita woolwich mWaka 1886
7)
8

No comments:

Post a Comment