Sunday, 15 December 2019

Je unajua kuwa mchezo wa Kung fu / Wushu umeanzishwa na mtu mwenye asili ya india na sio china kama watu wengi wanavyofahamu

Je unajua kuwa mchezo wa Kung fu / Wushu umeanzishwa na mtu mwenye asili ya india na sio china kama watu wengi wanavyofahamu
Muanzilishi wa Kung fu / wushu anaitwa Bodhidharma ambaye aliishi kati ya karne ya 5 au 6
Inasemekana kuwa alikuwa ni mtoto kutoka katina ufalme wa Pallava wa nchi ya Kanchipuram ....na pia alikuwa muhubiri wa kibudha
Watu wa tibet wanaamini kuwa bodhidharma alikuwa ni mweusi
Wataalamu wametofautiana katika mwaka alioingia china japo wengi wanasema kuwa aliingia china katika utawala wa Liu Song (420-479)...
Na wengine wanasema ni zama za utawala wa Liang ( 502-557)
Haya ndio majina yake mengine anayojulikana kutokana na eneo
1) Japan wanamuita DARUMA
2) Korea wanamuita DALMA
3) Tibet wnamuita DHARMOTTARA
4) Wamalaya wanamuita Dharuma

No comments:

Post a Comment