Kusamehe sio kusahau
Unapomsamehe mtu haimaanishi kuwa umesahau alichokutendea
Unapomsamehe mtu haimaanishi kuwa umesahau alichokutendea
Bali maana halisi ya kusamehe ni kuondoa maumivu moyoni mwako...yaan ukiacha kuumia kwa jambo alilokutendea ndio maana halisi ya kusamehe
KWahiyo kusamehe na kusahau ni vitu viwili tofauti

No comments:
Post a Comment