.mtu mwenye uwezo mkubwa wa kuona
Amezaliwa mwaka 1951 nchini ujerumani....na kwa sasa ni Daktar wa meno
Veronika ana uwezo wa kuona mara 20 zaidi ya binadamu wa kawaida
Veronika ana uwezo wa kuwatofautisha watu walio kwenye umbali wa zaidi ya maili moja ......yaan ni sawa na futi 5280
Visual acuity ya binadamu wa kawaida ni 20/20 ......
Lakini yeye ni 20/2
Lakini yeye ni 20/2

No comments:
Post a Comment