Monday, 25 November 2019

SNAKE MAN ⠀


👉Alizaliwa mwaka 1910 wakati wa ujana wake alikua akijichoma sindano zenye sumu za nyoka tofauti tofauti ili tu aimarishe Kinga ya mwili wake ⠀

👉Mara baada ya kufanya hivyo alikua haogopi tena nyoka aling'atwa na nyoka takribani 172 lakini hakupata maradha yoyote 👏 ⠀

👉Na alikua anajitolea Damu yake kwa watu walio ng'atwa na nyoka na wote walikua wanapona ⠀

👉alifanikiwa kuishi miaka 101 alifariki mwaka 2011👍

Image may contain: 1 person

No comments:

Post a Comment