Kwanza hautomuona mtanzania yoyote akiwa anayamiliki haya zaidi ya wachina wenyewe...
Pili hela wanayoingiza wachina kwa siku ni kubwa zaidi na hakuna kodi yoyote ile tofauti na kwenye kubeti mikeka...
Tatu kwa kiasi kikubwa haya mabonanza yamewaletea watu umasikini kwenye familia zao.....
..Tatu hayana usimamizi wakutosha katika jamii utaona vijana hata chini ya miaka 18 wanacheza hali inayowaathiri kisaikolojia na kuwapelekea kuathirika na michezo ya kamari na kuacha shule au kuenda kwenye vitendo visivyo kawaida
MIMI BINAFSI KWA NILIVYOFATILIA MCHEZO HUU. .....HAUNA FAIDIA KWA TANZANIA KWA SABABU BORA HATA MIKEKA AU TATU MZUKA AU KAMARI NYENGINE ZA KUBETI HUWA ZINACHANGIA PESA KWA SERIKALI KULIKO HII
.....NAIOMBA SERIKALI YA JAMHURI IYAFUNGIE HAYA MADUBWASHA YANAYOWAUMIZA WATOTO WA KITANZANIA KWA KUKOSA MAHITAJI MUHIMU
No comments:
Post a Comment