Leo nimejaribu kufatilia kisa cha wanaume wenye uume mkubwa zaidi duniani ambao ni
Roberto Esquivel Cabrera kutoka nchini Mexico ambaye uume wake una urefu wa inchi 19
Mwengine ni Jonah Falcon kutoka marekan ambaye uume wake ni inch 13 ukiwa umesimama na inchi 9 ukiwa umelala
Jonah Falcon ndie wa kwanza kutambulishwa kuwa ni mwanaume mwenye uume mkubwa zaidi duniani
Baadae picha za Roberto Cabrera zikaanza kusambaa mitandaoni zikimuonyesha akiwa anapima uume wake hali iliyozua tafran na hata baadhi ya watu wakitaka cheti cha rekodi ya dunia apewe yeye
Lakin baadae madokta wakaenda kumpima Roberto Cabrera na kugundua kuwa hana uume mrefu kama ulivyo bali uume wake ni inch 6.5 na inch 12 iliyobaki ni ilikuwa ni govi/ngozi inayokuwa kwenye uume kabla ya kutahiriwa
Kutokana na kuwa Roberto kuwa na ndoto za kuwa mwanaume mwenye uume mkubwa duniani tokea akiwa kijana mwenye umri wa miaka 10's hivyo alianza kuivuta ile ngozi ya juu ya uume na hakutaka kutahiriwa
Hata hivyo aliposhauriwa kutahiriwa alikataa kwa sabab anasema anafurahia kuwa mwanaume mwenye umri mkubwa duniani
Uume wa Roberto Cabrera hausimami kutokana kuwa na uzito unao karibia kilo moja
Bado kitabu cha Guiness hakijamtambua Roberto Cabrera ..na baadhi ya vyanzo vinasema kuwa Cabrera ametambuliwa kama ni disability
Johan Falcon alishawahi kumrushia kijembe Roberto Cabrera akimwambia " anaonaje fahari ya kuwa na uume mkubwa hali ya kuwa hautumii
John Falcon anafurahia kuwa na uume mkubwa lakin pia anajinasibu kuwa anapata ofa nyingi za kutakiwa na makampuni ya kutengeneza video za ngono ...lakini pia alishwahi kufanya mapenzi na wanaowania tuzo za oscar na pia alishwahi kufanya mapenzi na washindi wa tuzo ya oscar

No comments:
Post a Comment