Wednesday, 1 January 2020

Mama Maria Teresa akiwa na miaka 18

Image may contain: 1 person, smiling


Hapo ilikuwa ni mwaka 1928 katika mji wa Circa nchini Ireland....

Mama Maria Teresa alizaliwa mwaka 1910 katika mji wa Skopje nchini Macedonia

Tangu mdogo alitamani kuwa mtawa ili apate kuwasaidia masikini wenye uhitaji

Akiwa na miaka 18 alikubaliwa kujiunga na masista wa nchi ya Ireland

No comments:

Post a Comment