
Hapo ilikuwa ni mwaka 1928 katika mji wa Circa nchini Ireland....
Mama Maria Teresa alizaliwa mwaka 1910 katika mji wa Skopje nchini Macedonia
Tangu mdogo alitamani kuwa mtawa ili apate kuwasaidia masikini wenye uhitaji
Akiwa na miaka 18 alikubaliwa kujiunga na masista wa nchi ya Ireland
No comments:
Post a Comment