Anaitwa Malikia Genepil alinyongwa mwaka 1938....kipindi ambacho wasoviet walikuwa wanaikalia kwa nguvu Mongolia
Katika kipindi hiko Kati ya mwaka 1937 hadi 1939 ambapo zaidi ya watu elfu 20 waliuwawa wakiwemo wana mapinduzi, mabhudhist, na watu wengine wengi

No comments:
Post a Comment